Tuesday, April 8, 2014

MWIMBAJI W NYIMBO ZA INJILI TANZANIA ANNIE ANNA ALIVYOSHIRIKI KATIKA TAMASHA LA SHUKRANI LA MESS JACOB CHENGULA SIKU YA JUMAPILI 30.03.2014


 Annie Anna Isaac

 Annie Anna Isaac

Baada ya kufanta uzinduzi wake wa albamu ya MUNGU HABADILIKI Mess Jacob Chengula aliweza kuweka tamasha la kumshukuru Mungu katika kanisa la KKKT Mbezi Kimara. Watu walikuwa ni wengi sana waliofika mahali pale kwa lengo la kuungana na mwimbaji huyu katika kazi ya Bwana. Mess Jacob Chengula aliongozana na waimbaji wengi na moja wapo ni Bony Mwaitege, Manesa Sanga, Elizabeth Ngaiza, Stella Joel, Annie Anna Isaac kutoka Moshi, Joshua Makondeko na wengine wengi. Tamasha lilikuwa zuri sana na watu walibaroikiwa na uimbaji wa watumishi hawa wa Mungu.
Mess Jacob Chengiula alimshukuru sana Mungu kwa kupata kibali cha kuweza kufanikisha tamasha hili la shukrani pamoja na kuwapongeza wachungaji, wazee wa kanisa na waumini wa kanisa hilo kwa kumruhusu kufanya kazi ya Bwana kanisani hapo.
TUONE MATUKIO KATIKA PICHA
 Kulia ni Joshua Makondeko akiwa na Bony Mwaitege
 Joshua Makondekoakimtukuza Mungu
 Stella Joel
 Stella Joel

 Bony Mwaitege
 Bony Mwaitege
 Elizabeth Ngaiza
 Manesa Sanga
 Mess Jacob Chengula akiingia kanisani kwa kazi ya Bwana

 Mess Jacob Chengula, Manesa Sanga na dancers wake wakimtukuza Mungu siku hii
 Mess Jacob Chengula na dancers wake wakimtukuza Mungu siku hii
You might also like:

No comments:

Post a Comment